![]() |
| |
Hivyo sasa kama wewe ni Afisa Ugani unaombwa kujiunga katika kurasa inayoitwa "Farm Extension Link" ambayo inapatikana katika mtandao wa kijamii wa 'facebook'.
Unachotakiwa kufanya, andika neno "Farm Extension Link" katika sehemu ya kutafutia ya facebook kisha kurasa itakuja halafu 'LIKE' utakuwa umeshajiunga.
Tunaanza kuwaleta "Maafisa Ugani" pamoja kisha tutawaomba pia "Wakulima" wajiunge katika ukurasa huu wa "Farm Extension Link" ili kuweza kuelezea changamoto zilizopo katika sekta ya kilimo.
Kama wewe ni "Afisa Ugani" jiunge sasa kama ilivyoelekezwa hapo juu.
Pia fuatilia ukurasa wetu wa "Twitter" kwa kuandika @ExtensionLink utaweza kujiunga.
Shukrani kwa Usikivu wenu.
Shukrani kwa Usikivu wenu.








0 comments:
Post a Comment